Skip to main content

Posts

Showing posts from February, 2020
Wanafunzi wa Diploma 1A Wakipata mafunzo ya urekebishaji Wa Blog zao na jinsi ya kuziweka ziwe katika Muonekano mzuri,Wanafunzi hao walijifunza mengi kutoka kwa mwalimu wao.
Chuo cha uwandishi wa habari Dar-es-salaam school of journalism Msajili wa Chuo anatoa Tangazo kuwa wanafunzi wote ambao hawajasajiliwa NACTE Kufika ofisini kwake kwa msajili NB:Uwe na shilingi 20,000 Ili uweze kusajiliwa MUHIMU:Wanafunzi wa diploma 1B ya January na 36A Certificate

Kitambulisho cha kudumu cha kura

TIII KURA YAKO kwa kumchagua mgombea anayestahili Ukiingia kwenye website ya NEC na kuweka nambari ya mpiga kura utaweza ona online status yako (mpiga kura) na kituo chako cha kupigia kura. Taarifa wanazozitoa ni sahihi kwa asilimia 100. Wadau wote tutizame status zetu ili kuepukana na disappointments za dakika za mwisho. Hii itazidi kutupa uhakika wa kupiga kura zetu 

Wabongo Waliokuwa China Mji wa Wuhan waomba warudishwe nchini

Wanafunzi wanaosoma kama mji wa Wuhan waomba nchi ya Tanzania kuchukua hatua Ya kurudishwa nchini,Wanafunzi hao wanao jikinga na virusi vya Corona Ambavyo vinavyowakumba wakazi wa China Ikiwa ishauwa watu zaidi ya 660 SERIKALI: Ya Tanzania inahitajika ichukue hatua ya kutuma ndege maalum ya kuchukua tu wakazi wa Nchini