Skip to main content

CHUO CHA UANDISHI WA HABARI (DSJ) YABORESHA MAZINGIRA YA CHUON

Chuo cha uandishi wa habari Dsj cha boresha mazingira  ambayo mwaka Jana,mazingira hayo yalionekana dhaifu kutokana na chuo kutokuwa na usimamizi maalum wa mazingira yake.chuo hicho kwa madai ya mwanafunzi wa stashahada Abdul nabeel akisema "mwaka Jana Mazingira yalikuwa dhaifu sana magogo yalienea Kula kona Kuni nyingi ambazo zilikosa sehemu za pakuhifadhia Ila nashukuru kwa uwongozi wa Chuo baada ya kuskiliza maoni na vilio vya wanafunzi wa chuo na kurekebisha mazingira hayo" Mwanfunzi huyi alisema

Comments

Popular posts from this blog

KANUNI NA TARATIBU ZA STUDIO

Chuo cha uandishi was habari Dsj kimeboresha kanuni na taratibu za studio ili kusiwe na uharibifu na wizi,Kanuni hizo -Wanafunzi wanahitajika wawe na Identity card ya chuo ili waingie studio -Kuhakiki muongozo husika kabla ya kuingia studio (script) -Kuhakikisha kuingia studio kwa ratiba maalum kama inavyosema -Hairuhusiwi kuingia na vyakula au vimiminika vyovyote Hizo ndo baadhi ya sheria mpya za studio
Chuo cha uwandishi wa habari Dar-es-salaam school of journalism Msajili wa Chuo anatoa Tangazo kuwa wanafunzi wote ambao hawajasajiliwa NACTE Kufika ofisini kwake kwa msajili NB:Uwe na shilingi 20,000 Ili uweze kusajiliwa MUHIMU:Wanafunzi wa diploma 1B ya January na 36A Certificate

Wabongo Waliokuwa China Mji wa Wuhan waomba warudishwe nchini

Wanafunzi wanaosoma kama mji wa Wuhan waomba nchi ya Tanzania kuchukua hatua Ya kurudishwa nchini,Wanafunzi hao wanao jikinga na virusi vya Corona Ambavyo vinavyowakumba wakazi wa China Ikiwa ishauwa watu zaidi ya 660 SERIKALI: Ya Tanzania inahitajika ichukue hatua ya kutuma ndege maalum ya kuchukua tu wakazi wa Nchini