Wanafunzi wa diploma 1A wakichanganua juu ya mchakato wa kutembelea watoto yatima,Wanafunzi hao ambapo wamekubaliana kila mwanafunzi kutoa mchango wa 20,000 Tsh Kwa kila mwanafunz.Akisema amir shaban "Tunaomba kutoa michango mingi ili tuweze kuwapa moyo kwamba kuna watu wanaowajali ukiachana na Wanaoishi nao na kuwalea"
Chuo cha uandishi was habari Dsj kimeboresha kanuni na taratibu za studio ili kusiwe na uharibifu na wizi,Kanuni hizo -Wanafunzi wanahitajika wawe na Identity card ya chuo ili waingie studio -Kuhakiki muongozo husika kabla ya kuingia studio (script) -Kuhakikisha kuingia studio kwa ratiba maalum kama inavyosema -Hairuhusiwi kuingia na vyakula au vimiminika vyovyote Hizo ndo baadhi ya sheria mpya za studio
Comments
Post a Comment